Ziwa Tanganyika

Ziwa Tanganyika lipo katika Mikoa mitatu ya Kigoma, Katavi na Rukwa. Bandari kuu zilizopo katika ziwa hili ni ya Kigoma, Kibirizi, Kipili, Kasanga, Kagunga, Kabwe na Kirando. Bandari ya Kigoma imeungwa kwa barabara na reli na ina vifaa vingi vikiwemo mizani, matangi ya mafuta, karakana na eneo la kupumzikia abiria.

Sifa za Bandari ya Kigoma

  • Ndio bandari kuu ndani ya ziwa Tanganyika
  • Iko mkoa wa Kigoma
  • Kuna eneo maalumu la Shehena, Abiria na kupakulia mafuta
  • Imeunganishwa kwa barabara na reli hapa nchini nan chi za jirani

Miundombinu ya Bandari

Gati

  • Gati la Kontena la meta 100
  • Bidhaa za kawaida meta 210
  • Kituo cha abiria meta 122.7
  • Gati la bomba la mafuta meta 110

Vifaa

  • Winchi inayoendeshwa kwenye reli
  • Reach stacker
  • Foko
  • Winchi
  • Matrekta

Uhifadhi

  • Ghara Kuu
  • Mabanda

Miradi Iliyotekelezwa

  • Ujenzi wa Ofisi ya Mkuu wa Bandari katika Bandari ya Kigoma, ujenzi wa gati, ghala na eneo la kuhudumia abiria katika bandari ya Kibirizi na Ujiji kwenye Ziwa Tanganyika.

Bandari nyingine za Ziwa Tanganyika

BANDARI YA KIBIRIZI

Maelezo ya ziada
Tabia
  • Ni bandari yenye shughuli nyingi inayohudumia abiria na mizigo kwa soko la ndani na la Jamhurti ya Kidemokrasi ya Congo (DRC) Burundi na Zambia. Mahali ilipo
  • Ipo kilometa 2.6 kutoka bandari ya Kigoma
Miundombinu
  • Jengo la abiria
  • Ghala la mizigo
  • Ofisi za bandari
  • Ofisi ya Wadau
Gati
  • Kuna gati kwa ajili mizigo na abiria
Miradi inayotekelezwa
  • Ujenzi wa gati, ghala na eneo la kuhudumia abiria

BANDARI YA KABWE

Maelezo ya ziada
Tabia
  • Ipo Rukwa kiasi cha kilometa 84 kutoka Namanyere
Gati
  • Ina gati kwa mizigo mchanganyiko
Miradi inayotekelezwa
  • Ujenzi wa eneo la kupakia na kupakua mafuta

BANDARI YA KIPILI

Maelezo ya ziada
Tabia
  • Ipo Rujkwa kilometa 64 kutoka Namanyere
Facilities
  • Jengo la abiria
Gati
  • Gati la mizigo mchanganyiko
Uwezo wa sasa
  • Tani 6,000
Miradi inayotekelezwa
  • Ujenzi wa barabara katika bandari ya Kipili

BANDARI YA KASANGA

Maelezo ya ziada
Tabia
  • Ipo Rukwa kiasi cha kilometa 110 kutoka Sumbawanga
Vifaa
  • Mobile Groove
  • Foko
Gati
  • Ujenzi wa gati la meta 14
Ghala
  • Maghala Mawil
Uwezo wa sasa
  • Tani 12,000
Miradio inayotekelezwa
  • Kuboresha bandari ya Kasanga

BANDARI YA KAGUNGA

Maelezo ya ziada
Tabia
  • Ipo kilometa 120 kutoka Kigoma mjini
Miundombinu
  • Jengo la abiria
Gati
  • Mizigo mchanganyiko 50M
Hifadhi
  • Ghala moja
Uwezo wa sasa
  • Tani 6,000
Miradi inayotekelezwa
  • Ujenzi wa barabara kutoka mpakani na Burundi hadi bandari ya Kagunga

BANDARI YA LAGOSA

Maelezo ya ziada
Tabia
  • Ipo kilometa 180 kutoka Kigoma
Miradi inayotekelezwa
  • Ujenzi wa gati

BANDARI YA SIBWESA

Maelezo ya ziada
Tabia
  • Ipo Kigoma kilometa 340 kutoka bdanri ya Ikola
Miundombinu
  • Jengo la abiria
Gati
  • Gati la mizigo mchanganyiko meta 100
Hifadhi
  • Ghala moja

BANDARI YA KAREMA

Maelezo ya ziada
Tabia
  • Ipo mkoani katawi kilometa 120 kutoka Mpanda
Jengo la abiria
  • Eneo la wazi
Hifadhi
  • Ghala
Miradi unayoitekelezwa
  • Kuboresha bandari ya Karema

BANDARI YA IKOLA

Maelezo ya ziada
Tabia
  • Iko mkoani Katavi kilometa 10 kutoka Bandari ya Karema

BANDARI YA NINDE

Maelezo ya ziada
Tabia
  • Ipo kilometa 160 kutoka bandari ya Kipili

BANDARI YA MSAMBA

Maelezo ya ziada
Tabia
  • Ipo mkoani Rukwa kiasi cha kilometa 250 kutoka Bandari ya Ninde

BANDARI YA WAMPEMBE

Maelezo ya ziada
Tabia
  • Ipo mkoani Rukwa kiasi cha kilometa 280 kutoka bandari ya Msamba

BANDARI YA KALA

Maelezo ya ziada
Tabia
  • Ipo kilometa 280 kutoka bandari ya Wampembe

BANDARI YA UJIJI

Maelezo ya ziada
Tabia
  • Ipo mkoani Kigoma kilometa 9.4 kutoka bandari ya Kigoma
Miradi unayoitekelezwa
  • Kuboresha gati ya bandari ya Ujiji

BANDARI YA KATONGA

Maelezo ya ziada
Tabia
  • Ipo kilometa 3.6 kutoka Kigoma

BANDARI YA KORONGWE

Maelezo ya ziada
Tabia
  • Ipo mkoani Rukwa kilometa 60 kutoka bandari ya Kabwe

BANDARI YA KIRANDO

Maelezo ya ziada
Tabia
  • Ipo mkoani Rukwa kilometa 10 kutoka bandari ya Kipili

BANDARI YA KATOSHO

Maelezo ya ziada
Tabia
  • Ipo mkoani Kigoma kiasi cha kilometa 4 kutoka bandari ya Kigoma

BANDARI YA TONGWE

Maelezo ya ziada
Tabia
  • Ipo Kigoma kiasi cha kilometa 330 kutoka barabara ya Ilagala

BANDARI YA LUBENGERA

Maelezo ya ziada
Tabia
  • Ipo mkoani Kigoma kilometa 4.32 kutoka barabara ya Ilagala

BANDARI YA SIGUNGA

Maelezo ya ziada
Tabia
  • Ipo mkoani Kigoma kilometa 2.3 kutoka barabara ya Ilagala

BANDARI YA HEREMBE

Maelezo ya ziada
Tabia
  • Ipo mkoani Kigoma kilometa 2.6 kutoka barabara ya Ilagala

BANDARI YA MTANGA

Maelezo ya ziada
Tabia
  • Ipo mkoani Kigoma kilometa 70 kutoka bandari ya Kigoma

BANDARI YA MWAMGONGO

Maelezo ya ziada
Tabia
  • Ipo mkoani Kigoma kilometa 156 kutoka bandari ya kigoma

BANDARI YA KARAGO

Maelezo ya ziada
Tabia
  • Ipo mkoani Kigoma kilometa 2.5 kutoka barabara ya Ilagala

BANDARI YA KAPARAMSENGA

Maelezo ya ziada
Tabia
  • Ipo mkoani Kigoma kilometa 1.5 kutoka barabara ya Ilagala

BANDARI YA KALYA

Maelezo ya ziada
Tabia
  • Ipo mkoani Kigoma kilometa 25 kutoka bandari ya Sibwesa

BANDARI YA RUKOMA

Maelezo ya ziada
Tabia
  • Ipo mkoani Kigoma kilometa 2.6 kutoka barabara ya Ilagala

Kwa maelezo zaidi wasiliana na:

Meneja wa Bandari Ziwa Tanganyika,
Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA),
S.L.P 911,
Kigoma, Tanzania

+255 (28) 2802275
Simu 1: +255 (0) 689 949 194
Simu 2: +255 (0) 713 220 588
Anwani ya barua pepe hii inalindwa kutokana na spambots. JavaScript lazima iwe itawezeshwa kwa kuweza kuona.