BANDARI YA MTWARA YAPOKEA WATUMISHI WAPYA
20 April 2026
Bandari ya Mtwara imepokea jumla ya watumishi wapya 21 waliowasili rasmi Februari 16, 2026, kwa lengo la kuimarisha rasilimali watu na kuongeza ufanisi katika utoaji wa huduma bandarini.
Watumishi hao wametoka katika kada mbalimbali zikiwemo Ubaharia,...
Tell Me More