Select your language

News & Updates

BANDARI YA MTWARA YAPOKEA WATUMISHI WAPYA

20 April 2026

  Bandari ya Mtwara imepokea jumla ya watumishi wapya 21 waliowasili rasmi Februari 16, 2026, kwa lengo la kuimarisha rasilimali watu na kuongeza ufanisi katika utoaji wa huduma bandarini.   Watumishi hao wametoka katika kada mbalimbali zikiwemo Ubaharia,...
  Tell Me More
WAZIRI MKUU AFANYA ZIARA YA KIKAZI BANDARI YA TANGA

20 April 2026

Waziri Mkuu, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema Serikali itaendelea kuiboresha Bandari ya Tanga ili iweze kukidhi ushindani wa kibiashara uliopo katika bandari za mwambao wa Bahari ya Hindi.   Akizungumza Februari 16, 2026 wakati wa ziara yake...
  Tell Me More