Select your language

Dar es Salaam port is Tanzania's principal port with a rated capacity of 14.1 million (MT) dry cargo and 6.0 million (MT) bulk liquid cargo. The Port has a total quay length of about 2,600 metres with eleven deep-water berths. Dar es Salaam port handles about 95% of the Tanzania international trade. The port serves the landlocked countries of Zambia, Democratic Republic of Congo, Burundi, Rwanda, Malawi, Uganda and Zimbabwe. The port is strategically placed to serve as a convenient freight linkage not only to and from East and Central Africa countries but also to middle and Far East, Europe, Australia and America.

News & Updates

WAFANYABIASHARA WA COMORO WAVUTIWA NA UFANISI WA UHUDUMUAJI SHEHENA BANDARI MTWARA

12 May 2026

Bandari ya Mtwara imeendelea kupokea wageni mbalimbali ambapo tarehe 30 Aprili, 2026 imepokea ugeni wa wafanyabiashara kutoka Visiwa vya Comoro. Ugeni huo uliongozwa na Balozi wa Comoro Nchini Tanzania Dkt. Ahamada El Badaoui Mohamed.   Lengo la...
  Tell Me More
BALOZI WA DENMARK NCHINI AKUTANA NA MENEJIMENTI YA TPA

12 May 2026

Serikali ya Denmark imeonesha nia ya kuimarisha ushirikiano na Tanzania katika kukuza biashara na uwekezaji kwenye sekta ya uchukuzi kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA).   Balozi wa Denmark nchini, Mhe. Jesper Kammersgaard, ameeleza...
  Tell Me More