Matukio mbalimbali katika Picha wakati Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo, alipotembelea Ofisi ya TPA Jijini Lilongwe nchini Malawi hivi karibuni.

Mhe. Balozi Kombo, ameipongeza Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) kwa kazi kubwa inayoifanya katika kuendeleza Diplomasia ya Uchumi kwa vitendo kupitia Sekta ya Bandari.

Katika ziara yake hiyo Mhe. Balozi Kombo aliambatana na Naibu Mkurugenzi Mkuu wa TPA Dkt. Baraka Mdima.

Tuwasiliane

Kwa maswali yoyote au msaada, wasiliana nasi muda wote (24/7)
0800-110032
S. L. P 9184 Dar es salaam
dg@ports.go.tz
255 22 2130390

Habari na Matukio Malawi

RAIS WA MALAWI ATEMBELEA BANDA LA MAONESHO LA TPA KATIKA MAONESHO YA...

26 Mai 2025

Rais wa Malawi Mhe. Dkt. Lazarus McCarthy Chakwera, ameipongeza Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) kwa kuendelea kutoa huduma bora na za kuaminika za kibandari kwa mizigo na shehena zinazoingia na kutoka nchini Malawi...
  Soma Zaidi
WAZIRI WA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA AFRIKA MASHARIKI ATEMBELEA OFISI...

07 Machi 2025

Matukio mbalimbali katika Picha wakati Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo, alipotembelea Ofisi ya TPA Jijini Lilongwe nchini Malawi hivi karibuni. Mhe. Balozi Kombo, ameipongeza Mamlaka ya...
  Soma Zaidi