Select your language

Bodi ya Wakurugenzi, Menejimenti na Wafanyakazi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Tunatoa pole kwa Menejimenti ya Wizara ya Uchukuzi, Familia, Na wote wanaoguswa na msiba wa Bw. Leonard Mutegeki Lwiza aliyekuwa Mkuu wa Kitengo cha TEHAMA Wizara ya Uchukuzi.