PONGEZI ZA KUTIMIZA SIKU 100 MADARAKANI
Bodi ya Wakurugenzi, Menejimenti na wafanyakazi wote wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), wanakupongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kutimiza siku 100 madarakani tokea kuapishwa.
EN
SW
FR
TPA ChatBot - "Nahodha"