Select your language

Naibu Waziri wa Biashara Jamhuri ya Watu wa China Mhe. Tang Wenhon Aprili 28,2025 amefanya ziara katika Bandari ya Dar es Salaam ili kutazama maeneo ambayo nchi yake inakusudia kutoa ushirikiano utakaosaidia ukuaji wa sekta ya Uchukuzi kupitia mpango kazi wa Jukwaa la Ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC).