Select your language

Baraza Kuu la Wafanyakazi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) leo tarehe 03 Septemba 2025 limefanya kikao cha Thelathini na nane (38) kilichofanyika mjini Morogoro.

‎Kikao hiko cha siku mbili kimelenga kujadili na kupokea utekelezaji wa bajeti kwa mwaka 2024/2025 na mpango na bajeti kwa mwaka 2025/2026.

‎Baraza hilo limeongozwa na Mkurugenzi wa Rasilimali Watu na Utawala Bw. Mbarikiwa Y. Masinga kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa TPA Bw.Plasduce M. Mbossa.

Uchaguzi 2025 Logo