BARAZA KUU LA MAJADILIANO (CJIC) LA TPA LIMEFANYA KIKAO JIJINI MOROGORO
Baraza Kuu la Majadiliano (CJIC) la Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) leo tarehe 18 Disemba 2025 limefanya Kikao cha Kaiwaida cha 58 kinachofanyika mjini morogoro.
Kikao hiko cha siku tatu kimeongozwa na Mwenyekiti wake Bw. Claudio Mbena na kimelenga kujadili na kupitisha taarifa ya utekelezaji wa makubaliano ya kikao cha kawaida cha 57 cha Baraza kuu la Majaduliano CJIC kilichofanyika Septemba 11 na 12, 2025.
Pamoja na mambo mengine baraza hilo limempongeza Mkurugenzi Mkuu Mamalaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) Bw. Plasduce M. Mbossa kwa kuteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi TANESCO.


EN
SW
FR
TPA ChatBot - "Nahodha"