TPA takes over TICTS operations effectively as from 01 January, 2023
Tanzania Ports Authority (TPA) has taken over the cargo handling services done by the Tanzania International Container Services (TICTS) Limited effectively as from 01...
Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania - TPA, tarehe 10 Mei, 2023 imewakutanisha Wadau wa shughuli za Bandari Nchini katika Semina ya kujenga uelewa kuhusu Mradi wa Upanuzi na Maboresho ya Miundombinu ya Bandari ya DSM.
Mradi huo unahusisha ujenzi wa Gati maalum ya kuhudumia Meli kubwa za Kitalii, Kuboresha Miundombinu ya Gati la kuhudumia Abiria na Mizigo kwa Meli za Mwambao na Ujenzi wa Gati mpya nne za kuhudumia Makasha ( Makontena)
Katika Bandari ya Dar es Salaam.
Akizungumza katika Semina hiyo, Mwakilishi wa Mkurugenzi Mkuu wa TPA Bw. Ntandu Mathayo amesema Mradi huo utakapokamilika, utaongeza uwezo wa Bandari ya Dar es Salaam kuhudumia Shehena kutoka tani milioni 17 kufikia tani Milioni 28 kwa mwaka
We are well equipped with an array of machinery and equipment to handle a wide range of cargo. Our teams of highly trained professionals in various fields work around
The safety of your ship as it enters any of our ports is one of our top priorities. We offer a number of services to all vessels that enter our ports including pilotage and mooring, to ensure
From government agencies to shipping-lines and banks, we work very closely with a number of stakeholders to make your experience with us a smooth as possible
With a wide variety of strengths and opportunities, TPA plays a major role as a key port in East Africa which offers port services to the land-linked countries.