Sélectionnez votre langue

Ikiwa katika muendelezo wa kuelekea siku ya Maadhimisho ya Mazingira Duniani, Watumishi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) Juni 04,2025, wameungana na wenzao wa Taasisi zingine zilizochini ya Wizara ya Uchukuzi kupanda miti katika Stesheni Kuu ya Samia Suluhu (SGR) Jijini Dodoma