TPA MAKAO MAKUU YAFANYA KIKAO CHA BARAZA JIJINI BAGAMOYO
Baraza la Wafanyakazi (WC) la Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) kituo cha Makao Makuu, limefanya kikao cha (38) kilichofanyika mjini Bagamoyo Mkoa wa Pwani.
Kikao hicho cha moja kilitanguliwa na Kikao cha Kamati ya Utendaji kilichokaa tarehe 12 na 13 Novemba 2025 kufuatiwa na Kikao cha Baraza kilichofanyika tarehe 14 Novemba 2025 kilicholenga kupokea na kujadili taarifa ya Utendaji kazi na taarifa ya utekelezaji wa mpango wa Bajeti kwa mwaka 2024/2025 na nusu Mwaka (Januari - Juni 2025)
Baraza hilo limeongozwa na Naibu Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Mha. Dkt. Baraka R. Mdima.


EN
SW
FR
TPA ChatBot - "Nahodha"