Sélectionnez votre langue

Mkurugenzi wa Bandari ya Dar es Salaam Bw. Abed G. Abed ameongoza kikao cha siku moja kilichokutanisha maofisa wa DP Word na Chama cha Mawakala wa Meli kujadili changamoto mbalimbali katika shughuli za Kibandari za kila siku kwa lengo la kuongeza ufanisi katika kuhudumia meli katika Bandari ya Dar es Salaam