MKURUGENZI MKUU WA TPA AFUNGUA WARSHA ILIYOWAKUTANISHA WADAU MBALIMBALIA
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania leo Oktoba 03 ,2025 amefungua Warsha iliyowakutanisha Wadau mbalimbali wa Bandari iliyofanyika Kibaha Mkoani Pwani iliyohusu maboresho na maendeleo ya Bandari nchini.


EN
SW
FR
TPA ChatBot - "Nahodha"