Sélectionnez votre langue

Katika kuadhimisha Juma la Huduma kwa Mteja 2024, Ofisi ya Mamlaka ya Usimamizi ya Bandari Tanzania (TPA) Nchini Rwanda imewatembelea Wateja wake katika Jiji la Kigali na kuwapa zawadi mbalimbali kama ishara ya kushukuru kwa uhusiano mwema uliopo katika shughuli za kibandari kati ya Tanzania na Rwanda.

Afisa mwakilishi wa TPA Nchini Rwanda Bw. Adam Shindo ameongoza ziara za kutembelea Wateja hao na kuahidi kuimarisha zaidi Viwango vya Huduma kwa Mteja ili kuvutia Wateja zaidi kulingana na kauli mbiu ya “Above and Beyobd” na kuongeza mchango wa Ofisi hiyo katika Mafanikio ya TPA.

Contactez-nous

Pour toute question ou assistance, contactez-nous 24h/24 et 7j/7.
0800-110032
P.O Box 9184 Dar es salaam
dg@ports.go.tz
255 22 2130390

Nouvelles Rwanda

TPA RWANDA OFFICE INOUGURATES CUSTOMER SERVICE WEEK

18 Décembre 2025

In recognition of World Customer Service Week*, the Tanzania Ports Authority (TPA), through its Kigali Office, has embarked on a series of visits to its esteemed clients both within and outside Kigali. Led by Mr. Adam Shindo, TPA’s...
  Dis m'en plus
JUMA LA HUDUMA KWA MTEJA NCHINI RWANDA

3 Février 2025

Katika kuadhimisha Juma la Huduma kwa Mteja 2024, Ofisi ya Mamlaka ya Usimamizi ya Bandari Tanzania (TPA) Nchini Rwanda imewatembelea Wateja wake katika Jiji la Kigali na kuwapa zawadi mbalimbali kama ishara ya kushukuru kwa...
  Dis m'en plus