Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Kamati ya Miundombinu wametembelea Bandari ya Mtwara na kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo ujenzi wa Gati namba 2, ujenzi wa Gati Bandari ya Lindi, mradi wa marekebisho ya barabara, ujenzi wa minara na miradi mingine ya maendeleo.

 

image01 mtwara10

Wajumbe hao ambao waliongozwa na Mwenyekiti wa Bodi, Prof. Ignas Rubaratuka walipatiwa maelezo kuhusiana na miradi hiyo kutoka kwa Kaimu Naibu Mkurugenzi Mkuu (Miundombinu), Eng. Karim Mattaka.

image01 mtwara5

Wajumbe wa Kamati hiyo walioshiriki katika ziara hiyo ya kazi ni pamoja na Bi. Jayne Nyimbo, Bw. Renatus Mkinga na Bw. Aziz Kilonge.

 

image01 mtwara4

Pic 4

Naibu Waziri wa Kilimo, Mhe. Omar Mgumba (MB) akizungumza na Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Mhandisi Deusdedit Kakoko mara baada ya kumtembelea ofisini kwake na baadae kufanya ziara bandarini kwa lengo la kukagua kazi zinazofanywa na kitengo cha Ukaguzi wa Mimea na Mazao kilichopo Bandari ya Dar es Salaam leo Ijumaa, Septemba 21, 2018.

Pic 1

Naibu Waziri wa Kilimo, Mhe. Omar Mgumba (MB) akimsikiliza Naibu Meneja wa Bandari ya Dar es Salaam (Utekelezaji) Bw. Ahmed Mchalaganya (kulia) akitoa maelezo kuhusiana na namna TPA inavyohudumia shehena ya mizigo inayopita bandarini hapo wakati wa ziara yake iliyolenga kukagua kazi zinazofanywa na kitengo cha Ukaguzi wa Mimea na Mazao kilichopo ndani ya Bandari ya Dar es Salaam.

Pic 2

Naibu Waziri wa Kilimo, Mhe. Omar Mgumba (MB) akitoa maelekezo kwa maofisa wa kitengo cha Ukaguzi wa Mimea na Mazao ya Bidhaa za Kilimo Bandarini wakati wa ziara yake Bandari ya Dar es Salaam kukagua kazi zinazofanywa na kitengo hicho bandarini.

Na Mwandishi Wetu

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Mhandisi Deusdedit Kakoko amewataka wadau wa Ushoroba wa Kati kutumia fursa zilizopo ili kupunguza gharama za kufanya biashara.

Kakoko amesema ni jukumu la wadau wa usafirishaji kujipanga vizuri ili kuokoa muda wa safari na kutoa huduma bora katika usafirishaji wa mizigo ya wateja kwa kuondoa vikwazo mbalimbali. Akitoa mfano alisema, kuna shehena ya tani takriban milioni 40 mpaka 50 katika Ushoroba wa Kati ambayo wadau wanashindwa kutumia fursa kuihudumia badala yake ni tani milioni 16.2 tu ambazo zinapita katika Ushoroba huo.

“Changamoto nyingi zinatokana na wadau kutotumia vizuri fursa zilizopo katika shoroba zetu haswa hii ya Kati katika kupunguza gharama za biashara,” amesema.

Mhandisi Kakoko ameyasema hayo wakati wa ufunguzi wa warsha ya Kimataifa iliyoandaliwa na Kamati ya Serikali ya Kudumu ya Usafirishaji (Inter Governmental Standing Committee on Shipping- ISCOS) iliyofanyika leo jijini Dar es Salaam.

Kamati hiyo ambayo imeundwa na nchi za Tanzania, Kenya, Uganda na Zambia inaendesha warsha ya siku mbili ambayo imekutanisha wadau wa usafirishaji kujadili masuala mbalimbali yatakayohusu usafiri wa majini na nchi kavu kwa kaulimbiu isemayo “International Freight Logistics Best Practices.

Akizungumzia kuhusu mikakati ya TPA kama lango la biashara nchini, Kakoko amesema asilimia 90 ya biashara ya Kimataifa hapa nchini inapitia katika bandari na hivyo TPA imejipanga kuwekeza katika miundombinu na vifaa vya kisasa, kuendeleza rasilimali watu, kuongeza na kuboresha matumizi ya TEHAMA, kuendeleza juhudi za kimasoko ili kumsogeza mteja karibu na kudumisha usalama wa mizigo katika bandari zote.

Warsha hii inaendelea kesho ambapo TPA itatoa mada itakayohusu jitihada zinazofanyika katika kuboresha huduma zinazotolewa na bandari ya Dar es Salaam.

DG KAKOKO

GROUP PHOTO

OUTSIDE

Capture1

_______________________________________________________________________________________________________________________________________

 

Capture2

WORKS and Communications Minister Makame Mbarawa has directed all institutions providing logistics services at the Dar es Salaam port to harmonize their systems in linking them with the new scanners under installation.

 

“I want you to hand over to me your work plan on how your systems can be connected with the use of the scanners which have cost lot of public funds which should bring impact,” Prof Mbarawa told the institutions when visited the port to inspect the scanners yesterday.

 

The institutions include the Tanzania Ports Authority (TPA), Tanzania Inland Container Terminal Services (TICTS) and the Tanzania Revenue Authority (TRA).

 

He gave them until Friday this week to meet and discuss on how they would harmonize their systems to enable them operate effectively, directing the TPA’s Director Eng Deusdedit Kakoko to chair the meeting.

 

Prof Mbarawa explained that the government has plans to install a total of 12 new such scanners at major ports of Dar es Salaam, Mtwara and Tanga, aiming at scanning all cargo imported through the ports for safety and economic reasons.

 

The scanners would be scanning vehicles and other consignments to be transported by railway, including containerized cargo. The scanners were purchased following President John Magufuli’s order to the TPA to procure the equipment.

 

His order in 2016 was after he witnessed only two TPA scanners out of four functioning, creating loopholes for tax evasion by importers through false and under declaration of goods.

 

Some TRA and TPA officials were also beneficiaries of the poor cargo scanning system, a trend that irked the President. With the procurement of the scanners, it is hoped that the scanning of goods at the ports would be carried out quickly and efficiently.

 

For his part, Eng Kakoko said six scanners had already arrived and promised to implement directives by the minister. He said immediate steps to take they will speed up a process to link all scanners so that they read from a single point.

Source: TMEA

Dodoma — TRANSIT oil cargo through the Dar es Salaam port grew by 48.5 per cent in the first months of this year as compared to corresponding period last year.

According to the country’s Petroleum Bulk Procurement Agency (PBPA) data, transit fuel shipped through the port increased by 49 per cent, thanks to efficiency and reforms at the Dar es Salaam port.

“The agency is happy to announce that it has recorded a steady growth in transit fuel since the Bulk Procurement System was established in 2015,” PBPA Acting Director General Erasto Simon told the Parliamentary Standing Committee on Energy and Minerals here over the weekend.

During the 2016/17 Financial Year, the government scrapped off Value Added Tax (VAT) on transit cargo, subsequently fuelling the volume of containers handled at the port by 35 per cent. The Dar es Salaam port is increasingly becoming the traders choice.

Minister for Energy, Dr Medard Kalemani says the volume of transit cargo shipped via the Dar es Salaam port to the landlocked countries in the eastern Africa is projected to increase threefold.

President John Magufuli launched a 421 million US dollar project mid last year, targeting to double the capacity of the port with support from the World Bank and UK’s Department for International Development.

Assessment by the World Bank indicated that the port’s cargo handling grew by nine per cent annually.

The new expansion being implemented by China Harbour Engineering Construction Company (CHEC) will help increase the capacity of the port to handle at least 25 million tonnes up from 13.8 million tonnes a year

The new port adds up to already existing two oil terminal ports, one being Dar es Salaam and the recently launched Tanga port with capacity to discharge 35,000 tonnes.

Source: TMEA Website