DSC 0022

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Uganda ya Fedha, Mipango na Uchumi, Mhe. Henry Musasizi akizungumza na Menejimenti ya Bandari ya Dar es Salaam wakati wa ziara yao Bandari ya Dar es Salaam iliyofanyika Jumatatu, Aprili 01, 2019. Katikati ni Meneja Msaidizi wa Bandari hiyo Bw. Elihuruma Lema na kushoto ni Meneja Uhusiano na Mawasiliano, Bw. Peter Millanzi.

DSC 0023

DSC 0025

DSC 0029

DSC 0030

DSC 0014