picha 1

Kaimu Mwenyekiti Baraza la Wafanyakazi Bandari ya Dar es Salaam, Bw. Ahmed Mchalaganya (katikati) akiongea jambo wakati wa Kikao cha Baraza la Wafanyakazi  Kamati ya Utendaji Kikao cha 61 Kamati ya Utendaji  Bandari ya Dar es Salaam kilichoanza kujadili tarifa ya Utekelezaji wa Malengo kwa Mwaka 2018/2019 kipindi cha Nusu mwaka Julai - Disemba, 2018 na Malengo mapya ya Mwaka 2019/2020 Bandari ya Dar es Salaam.

Picha 2

Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyakazi Bandari ya Dar es Salaam, Bw. Mashaka Karume akiongea jambo wakati wa kikao hicho cha kamati ya Utendaji Bandari ya Dar es Salaam.

Picha 3

Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi Bandari ya Dar es Salaam wakimksikiliza mtoa mada (hayupo pichani) wakati wa kikao cha 61 Kamati ya Utendaji Bandari ya Dar es Salaam kilichofanyika katika ukumbi wa Zimamoto na Usalama.

Picha 4

Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi Bandari ya Dar es Salaam wakimksikiliza mtoa mada (hayupo pichani) wakati wa kikao cha 61 Kamati ya Utendaji Bandari ya Dar es Salaam kilichofanyika katika ukumbi wa Zimamoto na Usalama.