Wabunge Watanzania kwenye Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki wametembelea Bandari ya Dar es Salaam Jumatatu, Februari 04, 2019 na kukutana na wadau mbalimbali wanaoshughulika na usafirishaji mizigo kutoka na kwenda kwenye nchi Wanachama wa Jumuiya.

Katika ziara yao hiyo Wabunge hao walipokelewa na Kaimu Mkurugenzi wa Bandari ya Dar es Salaam, Bw. Elihuruma Lema kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa Bandari ya Dar es Salaam, Eng. Deusdedit Kakoko. Wakiwa Bandarini hapo Wabunge hao pia walikutana na Uongozi wa Chama cha Mawakala wa Forodha Tanzania (TAFFA) pamoja na Afisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).

KATIKA PICHA NI MATUKIO MBALIMBALI KUHUSIANA NA ZIARA YA WABUNGE HAO.

DSC 0091

DSC 0121

DSC 0112

DSC 0084

DSC 0082

DSC 0070

DSC 0064

DSC 0054