Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Mhandisi Deusdedit Kakoko akikagua Miundombinu ya Bandari ya Nyamirembe iliyopo Chato, Geita.

Bandari hiyo inatarajiwa kuwa kitovu cha usafirishaji wa mazao na bidhaa kwa eneo la magharibi mwa Ziwa Victoria na kuwa kiungo hadi nchi jirani.

Capture 11

Capture 12

Capture 13