Bandari ya Mtwara inaendelea kupokea vifaa mbalimbali vya kuiwezesha kuhudumia kwa haraka usafirishaji wa korosho na leo imepokea "reach stacker" itakayotumika kuongeza nguvu na kujiandaa na msimu wa usafirishaji wa zao la korosho.

vifaa mtwara vifaa mtwara2