MICHEZO YA BANDARI YAANZA KUTIMUA VUMBI MJINI MOROGORO LEO OKTOBA 15, 2018:

DSC 6143

DSC 6150

DSC 6151

DSC 6160

DSC 6164

DSC 6195

DSC 6205

DSC 6233

DSC 6250

DSC 6195

DSC 6304

 

Meli ya Makasha RHL CALLIDITAS yenye urefu wa mita 260 na uapana a mita 37 huku ikiwa na kina mita 9 kwenda chini, yenye namba za Usajili IMO 9495777, kama inavyoonekana pichani ikiwa inaingia  katika Bandari ya Dar es Salaam na kwenda moja kwa moja katika kitengo cha kuhudumia makasha TICTS,

Akiongea mara baada ya kufiikiwa kuingiza meli hiyo katika gati Bandari ya Dar es Salaam Capt. Abdul  Mwingamno amesema kuwa huo na mwendelezo wa ujio wa mweli kubwa katika bandari ya Dar es Salaam ambapo hapo awali Bandari ilikuwa na uwezo wa kuhudumia meli isiyozidi urefu wa mita 234 .

Hatimaye hivi karibuni Tanzania ilishuhudia meli kubwa zilizo na urefu unaozidi mita 265 zikitia nanga katika bandari ya Dar es Salaam na kuondoa dhana ya kusema kwamba bandari kikomo chake ni kuhudumia meli isiyozidi urefu wa mita 234.

“Pamoja na maboresho yanayoendelea katika bandari ya Dar es Dar es Salaam leo tumefanikiwa tena kuingiza meli yenye urefu wa mita 260 na kuiingiza bandarini kiweledi na hatimaye kuendeleza uwezo wa Bandari katika kuhudumia meli kubwa ambazo kwa namna moja au ingize zinasaidia wasafirishaji katika kusafirisha mzigo mkubwa zaidi kwa wakati mmoja”. Alisema Mwingamno

Kwa upande wake Nahodha Mwandamizi Bw. Peter John ambaye ameingiza meli hiyo amewatoa hofu watumiaji wa bandari kwamba TPA imejidhatiti katika kutoa huduma bora zanye kiwango cha kimataifa huku akiwasisitizia watumiaji wa bandari kutumia bandari ya Dar es Salaam. “Bandari ya Dar es Salaaam kwa sasa usalama wa meli upo wa kutosha na marubani wanaujuzi na weledi uliotuka hvyo wasihofie na watumia bandari ya Dar es Salaam”. Alisema Peter.

RHL CALLIDITAS ilifanikiwa kutia nanga katika Bandari ya Dar es Salaam na inatazamia kupakua makasha 644 TEUS na kupakia makasha 692 TEUS.

DSC 8391.jpg e

DSC 8382.jpg e

DSC 8350.jpg e

DSC 8339.jpg e

IMG 20181012 WA0007

Mwenyekiti wa Bodi ya TPA, Prof. Ignas Rubaratuka (kushoto) akisikiliza maelezo kuhusiana na uendeshaji wa Gati la Kasanga kutoka kwa Kaimu Meneja wa Bandari ya Kigoma, Bw. Ajuaye Msese wakati wa ziara ya Bodi hiyo iliyofanyika Bandarini hapo Alhamisi, Oktoba 11, 2018.

IMG 20181012 WA0004

Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Eng. Deusdedit Kakoko (watatu kushoto) akitoa maelezo kuhusiana na utendaji wa Bandari ya Kasanga kwa Wajumbe wa Bodi ya TPA  wakati wa ziara ya Bodi hiyo iliyofanyika katika Bandari ya Kasanga Alhamisi, Oktoba 11, 2018.

IMG 20181012 WA0006

Mjumbe wa Bodi ya TPA, Bw. Renatus Mkinga (kushoto) akifurahia jambo wakati wa ziara ya Bodi hiyo katika Bandari ya Kasanga. Wapili kushoto ni Wajumbe wa Bodi, Bi. Jayne Nyimbo na Bw. Aziz Kilonge (watatu kushoto). Kulia ni Kaimu Meneja wa Bandari ya Kigoma, Bw. Ajuaye Msese.

IMG 20181012 WA0011

Wajumbe wa Bodi wakitoka kukagua ghala la kuhifadhi mizigo katika Bandari ya Kasanga.

IMG 20181012 WA0009

Mwenyekiti wa Bodi ya TPA, Prof. Ignas Rubaratuka akijadili jambo na baadhi ya Watendaji wa TPA katika Bandari ya Kasanga.

IMG 20181012 WA0010

Mwenyekiti wa Bodi ya TPA, Prof. Ignas Rubaratuka akiangalia jambo katika Bandari ya Kasanga.

IMG 20181012 WA00081

Mwenyekiti wa Bodi ya TPA, Prof. Igans Rubaratuka akifurahia jambo na baadhi ya Watendaji wa TPA. Kushoto ni Meneja wa Bodi, Bi. Anna Kessy na kulia ni Msaidizi wa Mkurugenzi Mkuu, Bw. Mrisho Suleiman Mrisho.

Timu Bandari ya Tanga imeibuka na ushindi wa jumla wa michezo ya Bandari Interports 2018 kwa kupata alama nyingi dhidi ya wapinzani wao Bandari ya Dar es Salaam, Makao Makuu, Bandari za Maziwa na Bandari ya Mtwara.

Mabingwa hao walishiriki kikamilifu katika mchezo wa soka, kuvuta kamba, kikapu, pete, bao na riadha.

Katika picha ni matukio mbalimbali kuhusiana na tukio la kukabidhi zawadi za vikombe kwa mshindi wa jumla na washindi mbalimbali.

Michezo hiyo ilifanyika mjini Morogoro katika uwanja wa Jamhuri na Bwalo la JKT la Umwema kuanzia Oktoba 15 na kuhitimishwa Oktoba 19, 2018.

DSC 8191

 Wanamichezo wa Bandari ya Tanga wakipokea zawadi ya kikombe cha ushindi wa jumla.

DSC 8215

DSC 8066

DSC 8072

DSC 8078

 DSC 8082

DSC 8084

DSC 8092

DSC 8097

DSC 8100

DSC 8103

 DSC 8112

DSC 8117

DSC 8119

DSC 8126

DSC 8131

DSC 8138

DSC 8139

DSC 8144

DSC 8158

DSC 8164

 

DSC 8166

DSC 8176

DSC 8224

DSC 8252

Wanamichezo wakongwe ambao wanatarajia kustaafu rasmi utumishi ndani ya Mamlaka wakiwa katika picha ya pamoja. Michezo ya mwaka huu ni ya mwisho kwao kushiriki wakiwa watumishi wa TPA.

DSC 8205

 

ziara dar port5 ziara dar port3
ziara dar port2 ziara dar port

Katika picha ni matukio mbalimbali kuhusiana na ziara yake iliyofanyika Alhamisi, Septemba 27, 2018

Michezo ya Bandari Inter-Ports Games kwa mwala 2018 inatarajiwa kufikia kilele chake siku ya Ijumaa, Oktoba 19 katika uwanja wa Jamhuri ambapo washindi mbalimbali watapatiwa zawadi za vikombe pamoja na fedha taslimu.

Katika picha ni matukio mbalimbali kuhusiana na michezo ya Alhamisi, Oktoba 18, 2018 katika uwanja wa Jamhuri na Bwalo la JKT la UMWEMA.

DSC 7024

DSC 7033

DSC 7065

 DSC 7138

DSC 7170

DSC 7182

DSC 7197

DSC 7205

DSC 7219

DSC 7266

DSC 7292

DSC 7303

DSC 7336

DSC 7378

DSC 7387

DSC 7409

DSC 7416

DSC 7422

DSC 7459

DSC 7520

DSC 7522

DSC 7522

DSC 7579

DSC 7586

DSC 7607

DSC 7619

 

 

Bandari ya Mtwara inaendelea kupokea vifaa mbalimbali vya kuiwezesha kuhudumia kwa haraka usafirishaji wa korosho na leo imepokea "reach stacker" itakayotumika kuongeza nguvu na kujiandaa na msimu wa usafirishaji wa zao la korosho.

vifaa mtwara vifaa mtwara2

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Mhe. Dkt. Stephen Kebwe Stephen azindua rasmi michezo ya Bandari. Katika picha ni matukio mbalimbali kuhusiana na uzinduzi rasmi wa michezo ya Bandari 2018 uliofanyika katika uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro Jumatatu, Oktoba 15, 2018.

The opening ceremony of the 2018 Bandari Inter-Ports Games took place on Monday, 15 October 2018, at the Jamhuri Stadium in Morogoro Region. The opening ceremony was officiated by the Morogoro Regional Commisoner, Hon. Kebwe Stephen Kebwe.

DSC 6456

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Mhe. Dkt. Kebwe Stephen Kebwe akipiga penati na kufunga kuashiria uzinduzi rasmi wa michezo ya Bandari 2018 mjini Morogoro.

DSC 6340

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Mhe. Dkt. Kebwe Stephen Kebwe akiwapokea wanamichezo wa Bandari katika uwanja wa Jamhuri wapili kushoto ni Mjumbe wa Bodi ya TPA na Mwenyekiti wa Kamati ya Bodi ya Utumishi, B. Jayne Nyimbo. Kushoto ni Mjumbe wa Bodi ya  TPA, Bw. Aziz Kilonge.

DSC 6320

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Mhe. Dkt. Kebwe akiwapokea wanamichezo wa Bandari katika uwanja wa Jamhuri wapili kushoto ni Mjumbe wa Bodi ya TPA na Mwenyekiti wa Kamati ya Bodi ya Utumishi, B. Jayne Nyimbo. Kushoto ni Mjumbe wa Bodi ya  TPA, Bw. Aziz Kilonge.

DSC 6317

Wanamichezo wa timu ya Makao Makuu ya TPA wakiingia uwanjani.

DSC 6325

Timu ya Bandari ya Dar es Salaam ambao ni wenyeji wa michezo ikiingia uwanjani Jamhuri mjini Morogoro.

DSC 6330

Timu kutoka Bandari ya Tanga.

DSC 6332

Bandari ya Mtwara nayo ikiingia katika uwanja wa Jamhuri.

DSC 6338

Bandari ya Mtwara wakiingia kwa shangwe uwanja wa Jamhuri.

DSC 6348

Timu ambayo inahusisha Bandari zote za Maziwa nayo ikiingia katika uwanja wa Jamhuri.

DSC 6357

 Mashindano ya mwaka 2018 kwa mara ya kwanza yamehusisha timu kutoka Bandari ya Zanzibar.

DSC 6363

Bandari Zanzibar wakiwa wamechangamka wakiingia uwanjani kwa shangwe kubwa.

DSC 6372

Mbali na Bandari Zanzibar kwa mwaka huu pia mashindano yamewahusisha wachezaji kutoka kitengo cha Kontena cha TICTS.

DSC 6383

DSC 6386

DSC 6389

DSC 6391

DSC 6403'DSC 6428

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Mhe. Dkt. Kebwe Stephen Kebwe akizungumza na wanamichezo wa Bandari katika uwanja wa Jamhuri kabla ya kuzindua michezo hiyo.

DSC 6425

Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi TPA na Mwenyekiti wa Kamati ya Bodi ya Rasilimaliwatu, Bi. Jayne Nyimbo akizungumza na wanamichezo.

DSC 6395

Mwenyekiti wa Kamati ya Michezo, Bw. Mussa Msabimana akizungumza na wanamichezo.

DSC 6439

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Mhe. Dkt. Kebwe Stephen Kebwe akimshukuru Mjumbe wa Bodi ya TPA na Mwenyekiti wa Kamati ya Bodi ya Utumishi, Bi. Jayne Nyimbo.

DSC 6441

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Mhe. Dkt. Kebwe Stephen Kebwe akimshukuru Mjumbe wa Bodi ya TPA, Bw. Renatus Mkinga.

DSC 6443

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Mhe. Dkt. Kebwe Stephen Kebwe akimshukuru Mjumbe wa Bodi ya TPA, Bw. Aziz Kilonge. Kushoto kabisa ni Mwakilishi wa Mtendaji Mkuu wa TICTS, Bw. Donald Talawa.

DSC 6466

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Mhe. Dkt. Kebwe Stephen Kebwe akiwa na Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya TPA.

DSC 6489

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Mhe. Dkt. Kebwe Stephen Kebwe akisalimiana na mchezaji wa timu ya soka ya Bandari ya Dar es Salaam.

DSC 6494

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Mhe. Dkt. Kebwe Stephen Kebwe akisalimiana na mchezaji wa timu ya soka ya Bandari ya Dar es Salaam.

DSC 6503

Wachezaji wa timu ya soka ya Bandari ya Dar es Salaam.

DSC 6509

Wachezaji wa timu ya soka ya Bandari za Maziwa.

eng kakoko

Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Eng. Deusdedit Kakoko amefungua kikao kazi cha 24 cha Kamati ya Utendaji ya Baraza kuu la Wafanyakazi kinachofanyika mjini Bagamoyo na kuwaasa Wajumbe kuwasilisha hoja na ushauri kwa usahihi na uwazi ili zijadiliwe kwa pamoja na hatimaye kufanyika maamuzi ya kuipeleka TPA mbele.

 

semina bagamoyo

Wajumbe wa Kamati ya Utendaji Baraza kuu la Wafanyakazi wametakiwa kuzingatia kwamba kikao hicho ni muhimu kwa maslahi ya TPA hivyo ni vyema mapendekezo yatakayowasilishwa yawe sahihi ili kuleta matokeo chanya katika kushughulikia changamoto mbalimbali.

“Kikao hiki ni muhimu sana pengine kuliko vikao vingine kwa kuwa ndicho kinachotoa ushauri na mapendekezo na hatimaye kuweza kuyatekeleza kwa nia ya kusonga mbele kwa ufanisi,” amebainisha Eng. Kakoko.

 

kikao bagamoyo

Kakoko amewaasa Wakurugenzi wa TPA kuwa makini na hoja za kikao na kutoa taarifa kamilifu, sahihi na za wakati wa sasa ili hatimaye zipokelewe na kujadiliwa n.a. wajumbe kwa maslahi ya TPA na Taifa kwa ujumla.

Sous-catégories