Mwakilishi wa Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Bw. Miraji Kipande akifunga rasmi kilele cha maadhimisho

ya Wiki ya Huduma kwa Mteja.

Mkurugenzi wa Masoko na Uhusiano wa TPA, Dkt. George Fasha akitoa neno wakati wa kilele cha Wiki

ya Huduma kwa Mteja